Isaiah 43:10-11


10 a“Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana,
“na mtumishi wangu niliyemchagua,
ili mpate kunijua na kuniamini,
na kutambua kwamba Mimi ndiye.
Kabla yangu hakuna mungu aliyefanyizwa,
wala hatakuwepo mwingine baada yangu.

11 bMimi, naam mimi, ndimi Bwana,
zaidi yangu hakuna mwokozi.
Copyright information for SwhKC